![No Title artwork](https://is3-ssl.mzstatic.com/image/thumb/Podcasts123/v4/c6/e3/4f/c6e34f0d-227d-2b29-fd7c-b26647549c37/mza_7561179089847430547.jpg/100x100bb.jpg)
Benki ya maendeleo ya Africa, yaonya kuhusu kutumia mali asili kama dhamana kwa mikopo
No Title
Swahili - March 14, 2024 15:57 - 9 minutesNews Download Apple Podcasts Google Podcasts Overcast Castro Pocket Casts RSS feed
Previous Episode: Taarifa ya habari 14/03 15h30 GMT
Next Episode: Uchambuzi na makala 14/03 15h43 GMT
Benki ya maendeleo ya Afrika imeonya mataifa ya Afrika dhidi ya kuchukua mikopo kwa kutumia mali asili kama dhamana, benki hiyo ikisema kuwa hatua hii imekuw ana athari kwa uchumi wa mataifa ya Afrika.
Unadhani mataifa ya Afrika yanaweza kujiendeleza bila mikopo?
Haya hapa baadhi ya maoni yako.